Young Africans Yaishusha Azam FC Kileleni Ligi Kuu Bara
READ MORE
TFF Yasaini Mkataba wa Miaka Mitano na UNFPA
READ MORE >
Previous
Next

Timu ya Young Africans imefanikiwa kuwapiga wapiga kwata, Tanzania Prisons bao 1-0 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC

Mchezo uliopigwa Disemba 04, 2022 majira ya saa 10:00 kwenye dimba la Geita, kati ya wenyeji Geita Gold na Mtibwa Sugar

Timu ya Simba SC imefanikiwa kumaliza mchezo wake wa 15 katika duru ya kwanza kwa kuvuna ushindi mnono baada ya kuifumua Coastal Union

Mchezo kati ya timu ya Singida Big Stars na Namungo FC uliopigwa Disemba 2, 2022 kwenye uwanja wa Liti mjini Singida ulimalizika kwa SBS kuandika rekodi mpya 

Shrikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupitia idara ya ufundi limeendesha mafunzo ya kwanza ya soka la ufukweni kwa wanawake yaliyofanyika Makao Makuu ya TFF, Ilala, Dar es salaam.

Mchezo uliozikutanisha timu ya Manispaa ya Halmashauri ya Kinondoni (KMC) dhidi ya timu ya Halmashauri ya Jiji la Mbeya (Mbeya City) 

Moduli ya tatu ya kozi ya ualimu wa mpira wa miguu CAF C diploma inaendelea makao makuu ya TFF Ilala, Dar es salaam ikijumuisha washiriki 45 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania.

LIVESCORES

Tanzania Premier League
49′ Dodoma Jiji (0) – Singida Big Stars 

MATCH RESULTS

FIFA U-17 Women World Cup

Oct 15,2022
Serengeti Girls (2) – France (0)

Tanzania Premier League
Dec 26,2022
Dodoma Jiji (0) – Singida Big Stars (1)
KMC (1) – Simba (3)
Azam (2) – Young Africans (3)

PLAY FAIR, BE POSITIVE

All we need to know about Tanzania Football Federation 

offices

Tanzania Football Federation is the governing body of football in Tanzania and oversees the Tanzania national football teams.

wah

Building Tanzania as a football power house at every level. To take football forward, we control, regulate, develop and promote the game of football.

OUR PARTNERS

MEDIA CENTRE

DOWNLOADS

GALLERY

> LATEST NEWS

Young Africans Yaishusha Simba Kileleni

Timu ya Young Africans imefanikiwa kuwapiga wapiga kwata, Tanzania Prisons bao 1-0 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ya NBC wakiwaondoa Simba Sport Club iliyokalia usikani kwa huo kwa masaa kadhaa.

Geita Gold Yabanwa Mbavu Jiooni Ikiwa Uwanja wa Nyumbani

Mchezo uliopigwa Disemba 04, 2022 majira ya saa 10:00 kwenye dimba la Geita, kati ya wenyeji Geita Gold na Mtibwa Sugar ulimalizika kwa timu hizo kutoshana nguvu kwa kufungana bao 2-2.

Simba Yamaliza Duru ya Kwanza Kibabe Ugenini

Timu ya Simba SC imefanikiwa kumaliza mchezo wake wa 15 katika duru ya kwanza kwa kuvuna ushindi mnono baada ya kuifumua Coastal Union jumla ya mabao 3-0 Wagosi.

NATIONAL TEAMS

Keep up-to-date with the Taifa Stars, Twiga Stars,  Tanzania Bara U20, Serengeti Boys development

Mens Senior Teams
Women Senior Teams
Youth Teams

COMPETITIONS

Find out how you can participate in coaching, refereeing learning and professional development courses

GRASSROOTS

Stay up-to-date and find out how you can participate in grassroots football

WOMEN FOOTBALL

All you need to know about women’s and girls’ football

tanza

POLICY RULES AND REGULATIONS

Your guide to the laws of the game and football policies

The Laws of the Game are the codified rules of association football. The laws mention the number of players a team should have, the game length, the size of the field and ball, the type and nature of fouls that referees may penalize, the offside law, and many other laws that define the sport. During a match, it is the task of the referee to interpret and enforce the Laws of the Game.

LEARN ON HOW TO GET INVOLVED

Find out how you can participate in coaching, refereeing learning and professional development courses

ABOUT TFF
MANAGEMENT (OUR PEOPLE)

The President & Board

TFF President
Vice President
Finance